Mazungumzo ya kusaka mkataba wa usitishwaji mapigano Gaza kuendelea mjini Cairo,nchini Misri. Tanzania yasema kuwa Kimbunga Hidaya kimepungua kasi na si tishio tena kwa nchi hiyo. Rais wa China Xi Jinping anatarajiwa hivi leo kuanza ziara yake rasmi na ya nadra barani Ulaya.